Ninaungama dhambi zangu Mwokozi,
unisamehe sitarudi tena x2
Enyi ndugu zangu ninaungama dhambi,
mnisamehe sitarudia tena x2
Kwa mawazo yangu pia matendo yangu,
unisamehe sitarudia tena x2
Nimekosa mimi nimekosa, unisamehe
sitarudia tena x2
Mama Maria Bikira mwema sana,
utuombee kwake Mungu Baba x2
Watakatifu wote na malaika, mtuombee
kwake Mungu Baba x2
Comments