AnonymousNinaungamaNinaungama Dhambi zangu zote kwani nimekosa (Baba) nihurumie x 2Nimekosa kwa mawazo, kwa maneno na vitendoKutotimiza wajibu kweli nimekosa, kweli nimekosa.Ninakuomba ee Bikira Maria ewe mwenye heri.Na malaika watakatifu nanyi ndugu niombeeni.
Ninaungama Dhambi zangu zote kwani nimekosa (Baba) nihurumie x 2Nimekosa kwa mawazo, kwa maneno na vitendoKutotimiza wajibu kweli nimekosa, kweli nimekosa.Ninakuomba ee Bikira Maria ewe mwenye heri.Na malaika watakatifu nanyi ndugu niombeeni.
Kommentare