Ninasikia kwamba wewe Yesu unaokowa wenye shida Bwana x 2
Wenye njaa unashibisha Yesu na wagonjwa unawaponya Bwana x 2
Ninakulilia, Yesu niokoe, ndiwe pekee Mwana wa Mungu; (ee Bwana) Yesu, ukiniokoa, nitakutukuza, nitakuimbia nyimbo tamu (ee Yesu) Bwana x2
Unaokowa kina mama Yesu, wazee na hata vijana Bwana x2
Na wanyonge unawakweza Yesu, vipofu sasa wanaona Bwana x 2
Unaokowa na walevi Yesu, wakora na wavuta bangi Bwana x2
Unaokowa wenye shidai Yesu, wenye kiburi na tamaa Bwana x2
Comments