Nimevipiga vita, nimevipiga vita vilivyo vizuri x2
(mwendo) mwendo nimeumaliza imani nimeilinda ,mwendo nimeumaliza imani nimeilinda x2
Baada ya hayo nimewekewa taji, nimewekewa taji ,taji ya haki.
Sasa namiminwa ,nao wakati wangu , wakufariki kwangu ,nao umefika
Ataniokoa ,na kila neno baya , hata niyafikie ufalme wa mbinguni
Nami nitaishi , kwa Baba milele nikimtumikia Mungu aleluya.
Comments