Nimepiga vita, vilivyo vyema, Vita vya roho na mwendo nimeumaliza x2 Sasa nangojea kupewa taji ya washindi (Na) sio mimi peke yangu x2 pamoja na wateule waloshinda vita
Ninakuagiza mbele ya Mungu na mbele ya Kristu Ukalihubiri Neno uwe tayari siku zote ukaripie unene kwa uvumilivu
Nao watajiepusha wasisikie yalo kweli, mimi nimevumilia hadi ninaoga mikono bali wewe uwe na ukamilifu katika mambo yako
Uvumilie mabaya fanya kazi ya kuhubiri, uihubiri injili uitimize huduma yako, sasa wakati wa kufa kwangu umefika
Comments