Nimepewa mamlaka x2 Mbinguni na duniani Nimepewa mamlaka yote x2
Basi enendeni mkayafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu x2
Mkiwabatiza kwa Jina la Baba na la Mwana na Roho Mtakatifu na kuwafundisha yote niliyowaamuru
Na tazama mimi niko pamoja nanyi siku zote niko pamoja nanyi siku zote mpaka ukamilifu ukamilifu wa dahari
Comments