Nimeona maji Yakitoka hekaluni upande wa kuume, aleluya Na watu wote waliofikiwa, na maji hayo wakaokoka Nao wakasema, aleluya, aleluya
Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema Kwa maana fadhili zake ni za milele
Atukuzwe Baba na mwana na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo na sasa na siku zote amina
Comments