Nimemkuta Daudi mtumishi wangu (mwema)
Nikampaka mafuta ili mkono wangu uwe naye daima x2
Mkono wangu uliomtia mafuta/ Ndio utakao mti a nguvu
Kwa mkono wangu hodari / Pembe yake itatukuka sana.
Daima ataniita Mungu wangu / Nami nitamwita mwanangu.
OR
Nimemkuta Daudi mtumishi wangu (mwema)
Nikampaka mafuta ili mkono wangu uwe naye daima x2
Mkono wangu uliomtia mafuta, ndio utakaomtia nguvu.
Adui hawataweza kumshinda, wala waovu hawatamtesa.
Nitakuwa mwaminifu kwake na kumfadhili, kwa jina langu atapata ushindi mkubwa.
Yeye ataniita: Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, mwamba wa wokovu wangu.
Comments