top of page

Nimefufuka na Bado

Nimefufuka na bado pamoja nawe, Aleluya wauweka mkono wako juu yangu


Ee Bwana mchungaji wangu, popote wanifahamu


Hakuna chochote kwangu, usikifahamu, Bwana


Hata nikiomo mbingu, pia niende kuzimu


Mtukufu Baba, mwana na roho mtakatifu.

3 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page