AnonymousNimefufuka na Bado Nimefufuka na bado pamoja nawe, Aleluya wauweka mkono wako juu yanguEe Bwana mchungaji wangu, popote wanifahamuHakuna chochote kwangu, usikifahamu, BwanaHata nikiomo mbingu, pia niende kuzimuMtukufu Baba, mwana na roho mtakatifu.
Nimefufuka na bado pamoja nawe, Aleluya wauweka mkono wako juu yanguEe Bwana mchungaji wangu, popote wanifahamuHakuna chochote kwangu, usikifahamu, BwanaHata nikiomo mbingu, pia niende kuzimuMtukufu Baba, mwana na roho mtakatifu.
Comments