{(Nikupe nini Mungu wangu) - Nikupe nini Mungu
wangu cha kukupenda x2}. (SOP:- Chakukupenda x4) (ALT: Chakupendeza x2). Chaku, kupendeza, kupendeza ) (BASS:- Chaku kupendeza x2. Chaku kupendeza, kupendeza) ALL:- Kupendeza siku hii ya leo.) x2.
Ninacho kidogo chakukupendezea ewe Mungu wangu, nilicho andaa siku hii ya leo, ndicho hiki Bwana.
Sadaka ya leo, ni sadaka safi isiyo na doa, twakuomba Bwana twakuomba Bwana upendezwe nayo.
Twatoa mkate twatoa divai, upokee Bwana, fedha nazo Bwana tunakutolea, upokee Bwana.
Comments