Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya x2. Nikauona mji (mji ule) ule mtakatifu (mtakatifu) Yerusalemu mpya ukishuka toka mbinguni x2.
Kwa maana mbingu za kwanza na nchi za kwanza zimekwisha kupita wala hapana bahari tena
Nikasikia sauti kubwa ikitoka kwenye kiti cha enzi tazama maskani yake Mungu
Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao naye atayafuta machozi katika macho yao
Mauti maombolezo kilio maumivu hayata kuwapo, tazama yote yamekuwa mapya.
Comments