top of page

Ni Wako Bwana

Ni wako, Bwana, ninasikia Unaponena nami;

Lakini, kweli, nataka kwako Nizidi kusongea:


Bwana vuta, (vuta) nije nisongee Sana kwako mtini.

Bwana, vuta, vuta, nije nisongee Pa damu ya thamani.


Niweke sasa nikatumike Kwa nguvu za neema;

Uyapendayo nami nipende Nizidi kukwandama.


Nina furaha tele kila saa Nizungumzapo nawe;

Ninanena kama kwa rafiki Nikipiga magot

0 views0 comments

Kommentare

Mit 0 von 5 Sternen bewertet.
Noch keine Ratings

Rating hinzufügen
bottom of page