Ni wako, Bwana, ninasikia Unaponena nami;
Lakini, kweli, nataka kwako Nizidi kusongea:
Bwana vuta, (vuta) nije nisongee Sana kwako mtini.
Bwana, vuta, vuta, nije nisongee Pa damu ya thamani.
Niweke sasa nikatumike Kwa nguvu za neema;
Uyapendayo nami nipende Nizidi kukwandama.
Nina furaha tele kila saa Nizungumzapo nawe;
Ninanena kama kwa rafiki Nikipiga magot
Kommentare