Ni heri kifungo Kinachotufunga
Mioyo yetu kwa upendo Pendo la Kikristo
M-bele ya Baba Tunatoa sala;
Hofu, nia, masumbufu Yetu ni moja.
Tunavishiriki Matata na shida,
Na mara nyingi twatoa Chozi la fanaka.
Tunapoachana Moyoni twalia;
Lakini tutakutana M-wisho mbinguni.
Comentarios