Ni chakula cha roho zetu x2
Kweli mwili wa Bwana nayo damu ya Bwana x2
Kweli ni chakula ni chakula cha roho zetu
1. Mwili wa Bwana, damu ya Bwana ndiyo chakula kwa wapendao.
2. Tujitakase mbele ya Bwana kwa moyo safi tukampokee.
3. Tukiungana na Bwana Yesu uzima wake tutaupokea
Bình luận