AnonymousNeno LinakujaNeno linakuja x 3 neno lipokee x 2Amenituma kuwahubiria habari ya nuru (kama ilivyo andikwa kitabu kitakatifu x 2)Tuwe tayari kusikiliza neno lenye mwanga –x2Neno la Bwana linatufariji walio na hofu – x2Litakomboa walio wafungwa kuweka huru –x2
Neno linakuja x 3 neno lipokee x 2Amenituma kuwahubiria habari ya nuru (kama ilivyo andikwa kitabu kitakatifu x 2)Tuwe tayari kusikiliza neno lenye mwanga –x2Neno la Bwana linatufariji walio na hofu – x2Litakomboa walio wafungwa kuweka huru –x2
Comments