Ndiwe kuhani hata milele (wewe) Ndiwe kuhani hata milele) x2 {Kwa mfano wake Melekizedeki (kweli) Kwa mfano wake Melekizedeki) x2
Neno la Bwana kwa bwana wangu Uketi mkono wa kuume Mkono wake Mungu Mwenyezi
Niwafanyapo adui zako Kuachilia miguu yako Watajikwaa na kuanguka
Akainyoosha nyoka Sayuni Fimbo ya nguvu zako ee Bwana Kuishi kati ya adui zako
Uzuri wa utakatifu Tokea tumbo la asubuhi Pokea umande wa ujana wako
Bwana ameapa siku zote Wata hataghairi kabisa Ndiwe kuhani hata milele
Comments