1. Tulisikia sifa zake to-ka kwa vizazi vya kale, zimedumu tangu na tangu na hata sasa zinaishi
Tunamuona kila siku akibariki watu kila kukicha (apendelee)
Tunasikia (yaani )kumbe alituumba hata bila kuomba
(ila) huyo ni Mungu na hizo ni sifa zake milele –milele-
Huyo ni Mungu na hizo ni sifa zake milele (yote) ndivyo alivyo.
2. Ndiye aijuaye jana yetu, leo na kesho yetu. Uratibu yote yaliyoko duniani na mbinguni
3. Yeye hawahi wala hakawii hutenda apendavyo lakini nyakati zote amekuwa mwema huyu Mungu
Comments