Ndipo nilipo sema, tazama nimekuja Bwana nimekuja, tazama nimekuja Kuyafanya mapenzi yako x2
Nalimngoja Bwana kwa zaburi akaniinamia akakisikia kilio changu
akatia wimbo mpya kinywani mwangu ndiyo sifa zake Mungu wetu.
Dhabibu na matoleo hupendezwa navyo, masikio yangu umeyazibua, kafara na sadaka za dhambi huzitaka ndipo nilipo
tazama nimekuja.
Katika gombo la chuo nimeandikiwa, kuyafanya mapenzi yako mapenzi yako, ee Mungu wangu ndiyo furaha, furaha yangu, naam sheria yako imo moyoni mwangu.
Comments