Ndimi mtumishi wako, nitafuraha kwako Bwana (mimi) Ndimi mtumishi wako, nitafuraha kwako Bwana (ndimi)
1. Nitajonjegea altare ya Mungu. Mungu wa raha ya roho yangu
2. Machoni pangu meza imepambwa, Bwana tazama adui zangu
3. Malishoni mwa majani mabichi ananitunza nikiwa naye
4. Sifa ziende kwa Baba na Mwana, na kwake Roho milele yote
Comments