Ndimi mtumishi wako, nitafurahi kwako Bwana (mimi), ndimi mtumishi wako
Nitafurahi kwako Bwana x2
Nitajongea altare ya Mungu, Mungu waraha waroho yangu.
Machoni pangu imepangwa wanatazama adui zangu.
Malishoni mwa majani mabichi ananitunza nikiwa naye.
Sifa ziende kwa Baba na Mwana na kwake Roho Mtakatifu.
Kommentarer