Nayatamani (kweli) nayatamani makao ya Bwana x2
(Maskani yake Bwana yapendeza kama nini x 2
Nafsi yangu imelionea shauku njua za Bwana
Nitaingia nyumbani mwa Bwana kwa shangwe nitamwabudu
Heri huru kwa viumbe vyake alitujalia sisi
Pendo lake kwa viumbe vyote huwa halina kikomo
Comments