1. Natazama mawinguni, nyota kweli zanawiri, na baraka zake Mungu zinatiririka x2
Sop: Harusi
All: Tushangilieni
Sop: Harusi
All: Ni jambo la heri
Sop: Harusi
All: Tushangilieni ni jambo lenye heri) x2
2. Siku zile za upweke, sasa kweli zimekwisha, nawe umeshampata wako wa maisha x2
3. Ewe Mola twakuomba, wabariki maharusi, wape maisha marefu pia na watoto x2
Comments