Nasikia mwito, Ni sauti yako;
Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako.
Nimesongea mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.
Ni mnyonge kweli, umenipa nguvu;
Ulivyonisfi taka Ni utimilivu.
Yesu hunijuvya: Mapenzi imani,
Tumai, amani, rahi, hapa na mbinguni.
Napata wokovu, Wema na neema;
Kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.
Comments