Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi, mwumba Mbingu na dunia.
Nina Ninamsadiki Mungu Baba mwenyezi, Yesu Kristu na Roho.
Na kwa Yesu Kristu, mwenye we pekee, Bwana wetu
Aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu, akazaliwa na Bikira
Akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato, akasulibiwa, akafa, akazikwa, akashukia kuzimu
Siku ya tatu akafufuka katika wafu, akapaa mbinguni, amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi
Toka huko atakuja kuwahukuma wazima na wafu
Nasadiki kwa Roho mtakatifu, kanisa takatifu katoliki
Ushirika wa watakatigu, maondoleo ya dhambi
Ufufuko wa miili, uzima wa milele Amina.
Comments