1.Ee Bwana toka vilindini,nimekulilia, Bwana uisikie sauti yangu Bwana.
Kama wewe (kama) ungehesabu maovu,nani angesimama,kama wewe(kama wewe) ungehesabu maovu,nani (nani) angesimama.
2. Masikio yako nayaisikie,sauti ya dua zangu Bwana.
3. Lakini kwako kunamsamaha,ili wewe ili wewe uogopwe Bwana.
Comments