Nalifurahi sana waliponiambia ( na twende) furahi sana waliponiambia ( na twende) ( Nyumbani mwa Baba twende, nyumbani mwa Baba twende) x2
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote (nitakushukuru) mbele ya miungu kuimba zaburi (nitakushukuru)
Nitakusujudu katika nyumba yako ( nitakushukuru) Nitalishukuru jina lako Ee Bwana (nitakushukuru)
Kwa fadhili zako na uaminifu wako (nitakushukuru) Kwa maana wewe umekuza ahadi (nitakushukuru)
Nilipokuita uliniitikia ( nitakushukuru) Ukanifariji ukanitia nguvu (nitakushukuru)
Comments