Sasa nakwenda ( kwa Baba) kuwaandalia mtakapo ishi nyote asema Bwana x2
Basi enendeni ulimwenguni mwote, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu
Wa fundisheni kushika maagizo yote, niliyo wafundisheni yote wawe wanafunzi wangu
Mkawabatize walioshika neno, kwa jina la Baba na la Mwana na Roho Mtakatifu
Na mimi nitakuwa nanyi siku zote mpaka mwisho wa nyakati zote msiwe na mashaka yote
Kommentare