top of page

Nakujia ni Mwenye Dhambi

1. Nakujia ni mwenye dhambi, nipokee kwa pendo lako x2

Yesu- nimechoka nazo dhambi (Bwana)

2.Ulikufa msalabani, ukateswa na wayahudi x2

3. Damu yako ilimwagika, kwa ajili ya dhambi zetu x2

4. Ulipaa juu mbinguni, kutuandalia makao x2

1 view0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page