AnonymousNakujia ni Mwenye Dhambi1. Nakujia ni mwenye dhambi, nipokee kwa pendo lako x2Yesu- nimechoka nazo dhambi (Bwana)2.Ulikufa msalabani, ukateswa na wayahudi x23. Damu yako ilimwagika, kwa ajili ya dhambi zetu x24. Ulipaa juu mbinguni, kutuandalia makao x2
1. Nakujia ni mwenye dhambi, nipokee kwa pendo lako x2Yesu- nimechoka nazo dhambi (Bwana)2.Ulikufa msalabani, ukateswa na wayahudi x23. Damu yako ilimwagika, kwa ajili ya dhambi zetu x24. Ulipaa juu mbinguni, kutuandalia makao x2
Comments