Nakujia mi mwenye dhambi nipokee kwa pendo lako *2 Yesu, nimechoka nazo dhambi Bwana, Bwana Yesu nipokee
Ulikufa msalabani ukateswa na Wayahudi *2
Damu yako ilimwagika kwa ajili ya dhambi zetu *2
Ulipaa juu mbinguni kutuandalia makao *2
top of page
bottom of page
Comentarii