Nakuinulia sala yangu, na sadaka yangu ikupendeze, (tena) viwe harufu nzuri kwako x2 (kama) kama ya melkisedeki.
1.Huko uliko Mungu sala yangu ikujie,iwe harufu nzuri kwako.
2.Huko uliko Mungu sadaka yangu ifike,ipendeze machoni pako.
3.Huko uliko Mungu nyoyo zetu zifike,zikueleke wewe.
Comments