Naja kwako Bwana unipokee mtumishi wako x2 kuijongea altare yako ee Bwana, unipokee. (kati ya milango yako, Bwana napita, niweke mkono wako nibariki x2
Ninakuja kwako, kukusujudia, (kukutolea, shukrani sala na maombi yangu x2
Nitakusujudu ee Mungu wangu (nifanye toba ya kweli, katika hii nyumba takatifu x2
Nitakuimbia kwa nyimbo nzuri. (Kwa nyimbo nzuri na shangwe, kukuabudu ee Bwana Mungu x2
Comments