top of page

Naamini

Baba sina msaada Ila kwako pekee:

Kama kwangu ungefichwa, Nifanyeje, Baba?


Sasa hivi naamini Yesu alikufa,

Alimwaga damu yake, Nitoke dhambini.


Naamini mwana wako Nipe nguvu zako:

Nijazie mahitaji, Katika saa hii.


Ni furaha gani kwangu Kukuona uso!

Nijue sauti yako, Nipate neema.

1 view0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page