Na utukufu wa Bwana, na utukufu wa Bwana Utafunuliwa, utafufuniliwa, utafunuliwa, utafunuliwa . Na utukufu wa Bwana, na utukufu wa Bwana Utafunuliwa, utafufuniliwa, utafunuliwa, utafunuliwa
Na utukufu wa Bwana, utafunuliwa
Na wote wenye mwili watauona Na wote wenye mwili watauona
Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya Na wote wenye mwili watauona . . .
Comments