Enyi watumishi wa Bwana sifuni Lisifuni lisifuni Jina la Bwana Na ahimidiwe Bwana Mungu Bwana Mungu kutoka Sayuni Akaaye Yerusalemu aleluya
Ninyi msimamao nyumbani mwa Bwana Nyuani mwa nyumba ya Mungu wenu Msifuni Bwana kwa kuwa yu mwema Liimbieni jina lake kwa maana lapendeza
Kwa sababu Bwana amejichagulia Yakobo Na Israeli wawe watu wake hasa Maana najua mimi ya kuwa Bwana ni mkuu Na Mungu wetu yu juu ya miungu yote
Enyi mlango wa Israeli mhimidini Enyi mlango wa Haruni mhimidini Enyi mlango wa Lawi himidini Bwana Enyi mnaomcha Bwana mhimidini Bwana
Comments