Sifa kwa Mungu, alyeruhusu yafanyike haya Sifa kwa Bwana, aliyesema yafanyike haya Akatupa sauti aee tuimbe tumtukuze Na vipaji aee tuimbe tumsifu Sifa kwa Mungu aliyeruhusu yafanyike haya aaha
Kaumba kinanda Mungu eehe Aha kayamba na ala zote ee ameumba yeye
Watunzi wa nyimbo wote eehe Waimbaji sisi sote ee katuumba yeye
Wapiga vinanda wote eehe Wapigao ngoma wote ee kawaumba yeye
HITIMISHO
Aee ehe, aeeh tuimbe (tumtukuze) * 4 Tumpigie muziki, uliopangwa na kukamatana Muziki mtakatifu, uliopangwa na kukamatana Kwa karama alizotujaza, uliopangwa na kukamatana Tumpigie muziki uliopangwa na kukamatana, kamatana, kamatana!
Comments