top of page

Mwokozi wangu Anipenda

Mwokozi wangu alinipenda,

Maovu ayanitengi naye,

Alijitoa, kuniponya,

Sasa mimi wake.


Mimi wake kabisa,

Naye Yesu wangu,

Si kwa wakati huu tu,

Bali na milele.


Dhambi nilijidhili sana,

Yesu akaja kunikomboa,

Akanitoa sumbukoni,

Sasa mimi wake.


Furaha nyingi moyoni mwangu,

Bwana Yesu kunifanya huru,

Kunitwaa kwa damu yake,

Sasa mimi wake.

0 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page