1. Mwokozi wangu kwa pendo lako, uliita kwako, ili mimi niweze daima, kukutumikia
Nitaweza, naweza kweli ukinisaidia, kwa nguvu zako Bwana naweza kukutumikia x2.
2. Ulijua mimi ni mnyonge, kwa matendo yangu, na sasa unihifadhi kabisa, nikutumikie.
3. Kwa Rehema na neema zako, nikubali sasa, Mwokozi wangu niwe ni wako, nikutumikie.
Comments