top of page

Mwokozi Kama Mchunga

Mwokozi, kama mchunga Utuongoze leo;

Ututume malishoni; Fanya tayari boma.

Bwana Yesu, peke yako Umetuvuta kwako.


Tu wakouwe rafiki, Uwe mlinzi wetu;

Kundi lako ulilinde, Tusivutwe na dhambi;

Bwana Yesu, tusike, Tukiomba, samehe.


Umetuahidi kwamba Utakubali watu,

Utawahurumia na Utawapa neema;

Bwana Yesu, tunapenda kuwa wako, mapema.

6 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page