top of page

Mwili wa Bwana Yesu


1. Mwili wa Bwana Yesu, chakula cha Mbingu, ni chakula cha roho chenye uzima x2 Hima uwe nasi ee Bwana Yesu, ukatushibishe chakula bora, Ni chakula cha roho chenye uzimax2

2. Yesu alitwambia kuwa tumpokee ni chakula cha roho chenye uzima x2 Anilaye mimi na kunywa damu, anao uzima wa siku zote, Ni chakula cha roho chenye uzimax2

3. Yesu alitwambia kuwa tumpokee, ni chakula cha roho chenye uzima x2 Sote twaamini, ni mwili wake, pia twaamini ni damu yake, Ni chakula cha roho chenye uzimax2

4. Hii ndiyo karamu, aliyotuachia, ni chakula cha roho chenye uzima x2 Ee Bwana Mwokozi tunakuomba, kwa chakula hiki tuimarike, Ni chakula cha roho chenye uzima x2


10 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page