Mwili wa Bwana Yesu, chakula cha Mbingu Ni chakula cha roho, chenye uzima Hima uwe nasi ee Bwana Yesu Ukatushibishe chakula bora Ni chakula cha roho, chenye uzima *2
Yesu alituambia, Yeye ni chakula Ni chakula cha roho, chenye uzima Sote twaamini, ni mwili wake Pia twaamini ni damu yake Ni chakula cha roho, chenye uzima *2
Yesu alituambia, kuwa tumpokee Ni chakula cha roho, chenye uzima Ee Bwana mkombozi tunakuomba Kwa chakula hiki tuinamie Ni chakula cha roho, chenye uzima *2
Hii ndiyo karamu, aliyotuachia Ni chakula cha roho, chenye uzima Alaye mwili na kunywa damu Ana uzima wa siku zote Ni chakula cha roho, chenye uzima *2
top of page
bottom of page
Comments