Huyu ndiye Mwana wangu, ninampenda Mwana wangu, msikizeni
Bwana ametamalaki dunia ishangilie, visiwa na vifurahi nchi yote.
Watu wote tufurahi, tumsifu kwa furaha tukiimba nyimbo zetu. Kwa shukrani.
Kwako leo tunaalikwa twendeni tufanye shangwe wokovu umetujia watu wote.
Comments