Mwamba wenye imara, kwako nitajificha Maji hayo na damu, yaliyo toka humu Hunisafi na dhambi, hunifanya mshindi
Kwa kazi zote pia, sitimizi sheria Nijapofanya bidii, nikilia na kuudhi Hayaishi makosa, niwe wa kuokoa
Sina cha mkononi, naja msalabani Nilitupu, nifike, ni mnyonge, nishike Nilimchafu naja, nioshe nisijafa
Nikungojapo chini, na kwenda kaburini, Nipaapo mbinguni, na kukwona enzini Roho yangu naiwe, rahani mwako wewe
top of page
bottom of page
Commenti