1. Mungu Muumba twakutolea sadaka safi Ee Baba pokea
Sadaka ee Baba pokea x2 Tunakutolea sadaka safi sadaka ee Baba pokea x2
2. Mkate huu twakutolea sadaka safi, Ee Baba pokea
3. Divai hii twakutolea sadaka safi, Ee Baba pokea
4. Na fedha zetu za mifukoni twakutolea Ee Baba pokea
5. Maisha yetu kwa roho safi twakutolea Ee Baba pokea
6. Mazao yetu ya mashambani twakutolea Ee Baba pokea
7. Matendo yetu, malezi yetu twakutolea Ee Baba pokea
8. Kwa leo hii twakushukuru kwa wema wako Ee Baba pokea
Comments