Mungu Baba, Muumba wetu – vipaji vyetu pokea-
Baba, twakutolea vyote – Baba, upokee.
Mkate na divai yetu - Baba, upokee vyote
Fedha na mazao yetu - Baba, upokee
Nyoyo zetu zenye toba -
Udhaifu wa miili yetu
Nasi pia mali yako
Hata na watoto wetu
Shida na furaha yetu
Na unyonge wa maisha
Pia na matendo yetu
Hata na mawazo yetu
Tena na maombi yetu
Hata na kilio chetu
Pia na masifu yetu
Hata na shukrani zetu
Comments