top of page

Mtakatifu, Mtakatifu

U Mtakatifu! Mungu mwenyezi!

Alfajiri sifa zako tutaimba;

U Mtakatifu , Bwana wa huruma,

Mungu wa vyote hata milele.


U Mtakatifu! Na malaika

Wengi sana wanakuabudu wote;

Elfu na maelfu wanakusujudu

Wa zamani na hata milele.


U Mtakatifu! Ingawa giza

Lakuficha fahari tusiione,

U Mtakatifu! Wewe peke yako,

Kamili kwa uwezo

1 view0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page