Mchungaji hodari mpole na mnyenyekevu, mwaminifu mtiifu kwa ahadi zake Mungu kweli
Uliye kinga yetu na mwamba wetu imara, tuombee tupate msamaha na rehema kweli
Uliisimamia familia yako vyema, wakati wa mateso na nyakati za furaha kweli
Tufundishe upendo na mfano wako bora, tukumbuke wajibu wetu kwa kanisa letu
top of page
bottom of page
留言