Msiwe na wasi wasi, mtakula nini, Bwana wa mbingu atawalisha
Yeye ni chakula, chakula cha Mbingu
Yeye ni kinywaji, kinywaji cha mbingu
Yeye hutulisha na kutushibisha
Yeye ni uzima, uzima milele
Yeye ndiye njia, iliyo ya kweli
Pia ndiye nuru, nuru ya dunia
Yeye kiongozi, wakutuongoza
Yeye yuko nasi, yu nasi daima.
Comentarios