top of page

Msifuni Mungu

Msifuni Mungu (aleluya) taifa la Mungu kwa wema wake.

  1. Mfanyieni Bwana shangwe dunia yote, mtumikieni Mungu kwa furaha.

  2. Njooni mbele zake Bwana kwa nyimbo nzuri, jueni ya kwamba Bwana ni Mungu wetu.

  3. Ingieni mlangoni kwa shukrani, mtukuzeni na lisifuni jina lake.

  4. Matendo yake makuu yanapendeza, mataifa yake yote ya furahia.

1 view0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page