Msifuni Mungu (aleluya) taifa la Mungu kwa wema wake.
Mfanyieni Bwana shangwe dunia yote, mtumikieni Mungu kwa furaha.
Njooni mbele zake Bwana kwa nyimbo nzuri, jueni ya kwamba Bwana ni Mungu wetu.
Ingieni mlangoni kwa shukrani, mtukuzeni na lisifuni jina lake.
Matendo yake makuu yanapendeza, mataifa yake yote ya furahia.
Comments