Mshukuruni Bwana, Mshukuruni Bwana Mungu kwa kuwa ni mwema Kwa maana fadhili zake ni za milele) x2
Nani awezaye kuyanena matendo makuu ya Bwana, Kuzihubiri sifa zake zote
Akaikemea bahari ya shamu ikakauka Akawaongoza vilindini kana kwamba ni mchanga
Akawaokoa na mkono wa mtu aliyewachukia Na kuwakomboa na mkono wa adui zao
Maji yakawafunika watesi wao Hakusalia hata mmoja wao
Comments