Msalabani Yesu alilia Mungu wangu mbona waniacha x2
Makuhani walifurahi
Bwana Yesu alipokufa
Watu wengi walisema
Maneno mengi yasiyofaa
Dunia yote ilitetemeka
Bwana Yesu alipokufa
Watu wengi walishtuka
Kweli huyu ni mwana wa Mungu
Ilipofika alasiri
Dunia yote ikawa giza
Papo hapo pazia ya hekalu
Ilipasuka vipande viwili
Ndugu na dada siku ya leo
Msiwe kama yule Thomaso
Amini leo na kutubu dhambi
Mtasamehewa na Bwana Yesu
留言